2 Kings 2:16
16 aWakasema, “Tazama, sisi watumishi wako tunao watu hamsini wenye uwezo. Waruhusu waende kumtafuta bwana wako. Labda Roho wa Bwana amemtwaa na kumweka katika mlima fulani au bonde fulani.” Al-Yasa akajibu, “Hapana, msiwatume.”
Copyright information for
SwhKC