2 Kings 2:16

16 aWakasema, “Tazama, sisi watumishi wako tunao watu hamsini wenye uwezo. Waruhusu waende kumtafuta bwana wako. Labda Roho wa Bwana amemtwaa na kumweka katika mlima fulani au bonde fulani.”

Al-Yasa akajibu, “Hapana, msiwatume.”

Copyright information for SwhKC